Mariah Carey ni mwanamuziki wa marekani .Alizaliwa siku kama ya leo.Alifanya muziki style ya pop.Alihit na vibao kama Vision of Love,Touch my body na zinginezo kibao.Aliolewa na Tommy mottola(1993-1998).Baadaye akaolewa na Nick Canon.Aliuza nakala mamilioni albamu ya We belong together.Amefikisha miaka aroibaini na nane.(48years).Alizaliwa Long island ,New York.
Tunawatakia wote wenye wamezaliwa siku kama ya Leo #HAPPY BIRTHDAY na MAISHA MAREFU.
@Nuktasaba
No comments:
Post a Comment