Nuktasaba inakuarifu kwamba ifikapo jumamosi tarehe 30 Juni 2018 kutakuwa na bonge la tamasha la msanii kwa jina MR BADO A.K.A MZUNGU MGIRYAMA litalofanyika apo CLUB RED LION WATAMU.Kwenye sheshe kutakuwa na bonge la show ambapo MR BADO atatumbuiza mashabiki na muziki wa kitamaduni wa kimijikenda MWANZELE.Show hiyo itakuwa ya kukata na shoka kwani MR BADO ataburudisha watu LIVE hadi asubuhi.Hili sheshe si la kukosa kwani kiingilio itakuwa ni BURE.Nuktasaba inawaomba watu wote msikose kwani kutakuwa na fursa ya kuona LIVE vyenye muziki wa MWANZELE huwa unapigwa na kikosi cha MR BADO.
Hii si show ya kukosa uje upate utamu wa muziki wa kitamaduni hadi chee !!
KOSA UCHEKWE.!!!
Tuesday, 26 June 2018
VIDEO IMEACHILIWA LEO !!
Nuktasaba inakujulisha kwamba FASH P leo ameachilia rasmi video ya nyimbo DEAR SON.Video hiyo iliyosubiriwa muda mrefu imedondoshwa leo na utaipata https://m.youtube.com/watch?v=z8Ytb5ckf1Yy
Friday, 22 June 2018
SHABBIG KUACHILIA NGOMA MPYA
Nuktasaba inakupa taarifa msanii mkali wa masauti kutoka kilifonia anayefahamika kwa jina SHABBIG anataka kuachilia ngoma mpya kwa jina AJAB SANA.Kibao hicho kimeundwa na ustadi sana na produsa mkali sana wa kuaminika .Mkali huyu aliyetingisha anga na kibao chake SHEMEJI alichoundiuwa na produsa AMZ amedai kazi hii mpya anaamini itazidi kupagawisha mafans wake zaidi kama alivyoambia ripota wetu wa Nuktasaba.SHABBIG kwa kweli huwa habahatishi na ameahidi ataendelea kuwapa mashabiki wake midundo moto moto hadi wapagawe yaani HIT baada ya HIT mwanzo mwisho.Kwa kweli SHABBIG ngoma zake huwa zinapasua anga za pwani yaani zinakubalika redio zote za pwani na mitandaoni hapa KENYA kila aziachiliapo.SHABBIG ameambia Nuktasaba kwamba bomba la AJAB SANA ataliachilia na video yake wakati wowote kuanza sasa so amedai mashabiki wawe tayari kuipokea.Nuktasaba na mafans wote tukae mkao wa kula tusubirie tindo hiyo iachiliwe na mkongwe huyo wa hizi kazi .Nuktasaba tunakuahidi kazi ikidondoshwa tutakupakulia hapa kwa blog yetu.So usiwe mbali !!
VIDEO MPYA IKO TAYARI KUACHILIWA
Msanii mkali wa HIPHOP toka pwani kwa jina FASH P the HOLLYSTAR ameiambia Nuktasaba kwamba video mpya ya DEAR SON iko tayari na ataachilia tarehe ishrini na sita huu mwezi wa sita 2018.Gwiji huyu mkali wa vina amedai kazi hiyo imetengezwa kwa ustadi sana na anaamini mafans wake wataikubali.Tunaisubiria video hiyo ikiachiliwa tu tutaiweka hapa kwa blog yetu uweze kuidondoa hapa.Tunamuombea mafanikio kwenye kazi zake.
Saturday, 16 June 2018
NEW VIDEO COMING SOON.@FASH P
Msanii mkali wa HIPHOP toka kaskazini ya Pwani kwa jina FASH P the HOLLY
IDD SPECIAL EXTENDED
MARIDHIA HOYEEEEEEE!!!!!!!!
DUE TO PUBLIC DEMAND UNGANA NA KUNDI ZIMA LA MARIDHIA SOUNDS SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17JUNE NDANI YA ZEITUNI BAR @BAMBURI
MPAKA CHEE....
NJOO TUENDELEE KUSHEREHEKEA IDD KIMARIDHIA......
KIINGILIO NI BUREEEEE!!!!!
KUFIKA KWAKO FURAHA KWETU.....```
*MARIDHIA SOUND, ILIURIDHIA MOYO WANGU.*
USIKOSE.!!!
DUE TO PUBLIC DEMAND UNGANA NA KUNDI ZIMA LA MARIDHIA SOUNDS SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17JUNE NDANI YA ZEITUNI BAR @BAMBURI
MPAKA CHEE....
NJOO TUENDELEE KUSHEREHEKEA IDD KIMARIDHIA......
KIINGILIO NI BUREEEEE!!!!!
KUFIKA KWAKO FURAHA KWETU.....```
*MARIDHIA SOUND, ILIURIDHIA MOYO WANGU.*
USIKOSE.!!!
Sunday, 10 June 2018
Wednesday, 6 June 2018
Subscribe to:
Posts (Atom)